AC KWENYE NYUMBA ZETU.

 on Minggu, 04 Mei 2014  




Ndugu wadau....hua najiuliza sana na sipati jibu..ya kwa nini kwenye nyumba zetu ile sehemu yenye AC kwa chini yake hua tunapaacha wazi hatuweki hata picha ....maana hua panaonekana pako wazi mno....


Ingawa inategemea na AC yako ulivyoiweka....

Nivema kuweka AC na ikawa na muonekano mazuri....na wa kuvutia....shautiana na fundi usimwachie ajiwekee ilimradi kaweka...



Tidak ada komentar:

Posting Komentar

J-Theme