RANGI ZA NJE ZA NYUMBA........ZINAPATIKANA KWENYE RANGI ZA DULUX PIA.....

 on Minggu, 29 Juni 2014  

 Ukiangalia nyumba hizi....sio tuu kwakua ziko nje ya nchi kwa wenzetu.....lakini pia zinavutia...na zinapendeza....kuanzia juu kwenye bati..mpaka chini...na garden pia...yaani unaanza kukaribishwa na mazingira na nyumba pia kabla ya mwenyeji...
 Uzuri wa nyumba hizi....ni mpangilio mzuri wa ujenzi...rangi na garden. ...ila ntaongelea rangi leo....tumekua tukidharau rangi jamani...ama kutokujua....

 Hua ninasema kila mara kua....kabla ya kupaka rangi. ..ukuta unatakiwa kutayarishwa vizuri....bila kuruka stages.....nani mwiko kutumia gypsum powder.....iwe ni ndani ama nje....products za skimming ziko.....kuna smooth over ya dulux ama stuko ya sadolin....ni wewe tuu na uwezo wako...
 Sijui kama hiliswali hua mnajiuliza wapendwa.....hivi kweli...hua mnawekaga budget ya rangi...kwenye nyumba zenu....ama ikifikia kwenye rangi ndio kukurupuka....na ndio maana nyumba zinalipuliwa.....mtu umejenga nyumba ya mfano ninachukulia....gharama ya nyumba ni 50 million. ..haya ukija kwenye skimming na  rangi ndani na nje unataka kutumia laki 8....kweli jamani....si ndio baada ya miezi 3 kama sio 6 rangi inabanduka...ama kupauka...
 Unajisikiaje kuangalia nyumba hizi zilivyo na Finnishing nzuri na si zinavutia sana....sasa wenzetu wana invest...kwa muda mrefu..na aiku zote rahisi gharama....nyumba ni yako bado unaifanyia ubahili....nani sasa aje kukufanyia kazi nzuri.....kila ukiambiwa unaangalia bei badala ya kazi na products zitakazotumika kwenye nyumba yako...
 Naomba niwaambie kitu wadau.....kua in worldwide. .....Finnishing ya nyumba ni gharama mno.....tena mno.....ila huku watu tunajua kua kujenga ndio gharama na Finnishing ni rahisi...halafu nyumba hiyo hiuo utakuta....furniture zilizowekwa ni za mamilioni.......sasa najiulizaga....hivi kweli hapa...Finnishing hairidhishi....unadhani hizo furniture zitaonekana kweli....na umekwepa nini sasa......
 Haiingii akilini unajibahilia kwenye Finnishing ya nyumba yako kweli....hivi unajua kua unatakiwa kuishi vizuri kadri uwesavyo....especially. ..sehemu ya kulala...maana ndio 80%ya maisha yako yanategemea upumzike vizuri.....
Kama ulivyojipanga kwenye ujenzi...na Finnishing jipange hivyo hivyo.....narudia tena...Finnishing ni gharama kuliko ujenzi...na products za dulux ndio zimekuja kumaliza utata huo......

Ukituita homez deco....hatulipui kazi wala kuruka stage...na tunafanya kazi ya uhakika...sasa uamuzi unao wewe....kujenga nyumba nzuri..then umalizie na Finnishing isiyokua na ubora...then uweke furniture za gharama.....



Tidak ada komentar:

Posting Komentar

J-Theme