KWA WALE WENYE NYUMBA ZA GHOROFA.....

thumbnail Hii imekaaje.....unaonaje.......je unaweza uka iweka kwenye ngazi zako hapo nyumbani. ....…

RANGI ZA NJE ZA NYUMBA........ZINAPATIKANA KWENYE RANGI ZA DULUX PIA.....

thumbnail Ukiangalia nyumba hizi....sio tuu kwakua ziko nje ya nchi kwa wenzetu.....lakini pia zinavutia...na zinapendeza....kuanzia juu kwenye bati..mpaka chini...na garden pia...yaani unaanza kukaribishwa na mazingira na nyumba pia kabla ya mwenyeji... Uzur…

SEMA CHOCHOTE KUHUSIANA NA HII LIVINGROOM.....

thumbnail

PILLOW CASES.......BEI SAWA NA BURE. .......KARIBUNI...

thumbnail Foronya za mito ya decorations. ....kwa bei ya shs. 5000. Mto kwa sh. 10,000. Karibuni. ...wote...tuwasiliane 0713 920565. ...…

UNA NGUO UNAZOZIPENDA SANAAA................

thumbnail Hivi unajua kua unaweza ukawa na nguo zako unazozipenda...halafu zile rangi za nguo hizo ukazi apply nyumbani kwako.....kwenye chumba chochote kile.....Kucheza na rangi ni kazi na inahitaji muda na utulivu ili uweze kupata kile unachokihitaji katika…

KORIDO ZETU.......

thumbnailNi wazo tuu.....kwenye korido za nyumba zetu.....mimi kwa mpaka sasa katika kazi yangu hii...wengi wetu tunajenga nyumba zikiwa na korido ndogo..kiasi kwamba huwezi kuiwekea decorations yoyote ile......Swali ni kwamba viwanja vyetu ni vidogo....ama n…

RANGI YA PINK......BAFUNI.....

thumbnailUmeshawahi kufikiria kua.....rangi hii inaweza kukaa bafuni.....maana tumezoea sana rangi hii iwepo tuu kwenye vyumba vya watoto....wetu wa kike...Mara nyingi rangi ya pink inaendana na rangi ya papo......hilo nadhani linajulikana....Halafu jamani...…

EMAIL: homezdeco@yahoo.com TEL: 0713 - 920565

thumbnailWapendwa wadau....naomba maulizo ya bei tutumie njia ya email ama simu....kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu..Nawashukuru sana,.....na samahani kwa usumbufu.…

DECORATIONS ZA UKUTANI. ......ZINAPATIKANA HOMEZ DECO. .....

thumbnail Karibu homez deco......decorations hizi unaweza kuweka kwenye ukuta wa tv ukuta wa kwenye sofas,  ama dinning ama chumbani. Na hata korido...na zikapendeza mno... Zinapatikana katika rangi yoyote ile....na kwa size yoyote ile...tumezoea picha tuu la…

KWA MFANO ...UNAONAJE MOJAWAPO KATI YA HIZI IKAWA NI MASTER BEDROOM YAKO......

thumbnailKuna msemo usemao .....kupanga kuchagua.........Hivi unajua ukiamua unaweza kua na masterbedroom nzuri tuu jamani....maana hakuna cha ajabu hapo......kila kitu kinajionyesha..... Niwewe tuu kuamua kua nataka kulala sehemu nzuri na safi...nayakuvutia.…

BRONCH.........PINI ZA KWENYE NGUO......UREMBO WA NGUO...WAWEZA PATA RANGI YA NYUMBANI KWAKO........

thumbnail Wengi wetu hizi pini hizi tunazo.....na tunazitumia kufungia nguo zetu.....kama suti...ama blouse...etc...na huongeza mvuto zaidi..kwenye nguo zetu.....Lakini sasa unaweza kupata rangi za kupaka katika nyumba yako kwa kupitia pini hizi....haswa kati…

PUNGUZO LA BEI KWENYE VITANDA VYA CHUMA......AINA YOYOTE ILE........10% OFF.......WAHI SASA TOA ODA YAKO ......

thumbnailTunapenda kuwajulisha wateja wetu wote kua Homez Deco inatoa punguzo la bei la asilimia 10 katika bidhaa zake za vitanda vya chuma...karibu utoe oda.....Wasiliana nasi kwa namba 0713 - 920565, ama email: homezdeco@yahoo.comBei Tshs 380,000. size 5 by…

RANGI ZA SADOLIN......ZINAPATIKANA HOMEZ DECO........

thumbnailTunapenda kuwajulisha kua sasa utajipatia rangi za Sadolin kwenye ofisi zetu za Homez Deco....Kampuni ya Sadolin ndio iko pia na rangi za Dulux.......Tunaendelea kuwarahisishia kwenye upande wa rangi.....kama tunavyojua rangi za Sadolin ni nzuri... n…

RANGI ZA DULUX ZIMESHUKA BEI...............TUWASILIANE KWA NAMBA 0713 - 920565 AMA EMAIL: homezdeco@yahoo.com

thumbnailTunapenda kuwafahamisha wadau wote kua sasa rangi za dulux zimeshuka bei kwa kiwango kikubwa mno....na hii ni kutokana na kwamba tunapenda wadau wote waweze kupata rangi hizi na kuweza kupendezesha nyumba zao..Naomba ifahamike kua dulux sio tuu ni ra…

MABADILIKO YA EMAIL......

thumbnailNapenda kuwajulisha..wote kua...kuanzia sasa...ile email ya sylvianamoyo@yahoo.com. ...haitotumika...tena...badala yake...tutatumia email:  homezdeco@yahoo.com.Mabadiliko haya...yatasaidia...kujibiwa email kwa uharaka zaidi......Na pia naomba maulizo…

HOMEZ DECO FLYER.....AND BUSINESS CARD........

thumbnailWadau wa homez deco.....napenda kuwajulisha kua...huu ndio muonekano wa fyler na businesses card...yetu..homez deco...itakavyoonekana...na kuanza kusambazwa.....katika maeneo mbali mbali....ya ndani na nje ya mkoa wa Dar -es- Salaam....Nawashukuru sa…

IMEKUPENDEZEA..........COFFEE TABLE......

thumbnailUmeionaje hii design ya coffee table.....imekuvutia.....…

MAHITAJI YA GRILLS ZA MILANGO NA MADIRISHA......

thumbnail Tumepata mdau mwenzetu...yeye ana deal na kutengeneza grills. ...hizi zinazoonekana......Homez deco tunapenda kumleta kwenu....mdau huyu na kazi yake hii..... Kwa mahitaji ya grills. ...wasiliana nae.kwa namba ....0717- 060 776.…

Page 1 of 54123...54Next »Last
J-Theme